Thursday, 11 August 2016

WAZIR WA MAMBO YA NDANI YA NCHI Mh. MWIGULU NCHEMBA awakumbusha usalama wa Raia na wakimbizi makambini Mkoa wa Kigoma

WAZIR WA MAMBO YA NDANI YA NCHI Mh. MWIGULU NCHEMBA

Awakumbusha usalama wa Raia na wakimbizi makambini Mkoa waKigoma akizungumza nao ktk nyakati toffauti wWazir Nchemba amesema nijukum la magerezam Polisi na Majeshi yote kujua ulinzi na usalama wa Raia na mali zai hata wakimbizi wa makambini wajulikane kama ni bina dam wana hitaji ulinzi na usaalma 


Kupitia hali hii ya wakimbizi ni somo kwa watu wetu kudumisha,kulinda na kutetea usalama hapa nchini Azungumza haya waziri wa mambo ya ndani Mh mwigulu nchemba ktk ziara yake huko mkoani Kigoma ktk kuangalia na kuboresha hali za wakimbizi hapa nchini


Azungumza na askari police, jeshi,magereza kuhakikisha ulinzi mipakani na kuwataka wakimbizi kutoshiriki ktk masuala ya ujambazi

No comments:

Post a Comment