Waziri wa Ardhi, William Lukuvi amesema kuwa Serikali iko kwenye mpango wa kuanzisha Mamlaka ya Udhibiti wa Makazi, itakayodhiti pia kodi za nyumba za kupanga.
- Pia amesema Serikali imepanga kurasimisha sekta ya udalali wa nyumba na makazi ili kumaliza tatizo la madalali matapeli
No comments:
Post a Comment