Saturday, 13 August 2016

WATANZANIA WATEKWA NA KUUWAWA MTO KAGERA WAKIVUA..

, KAGERA-:KYERWA
Watanzania 9 wametekwa kisha kuuawa wakiwa wanavua katika mto Kagera na watu wanaodhaniwa ni askari kutoka Rwanda.
- Waziri Mwigulu asema atalifuatilia suala hilo na kulitolea maamuzi.

No comments:

Post a Comment