Mwanadada
Almaz Ayana raia wa Ethiopia ameshinda medali ya dhahabu ya Michezo ya
Olimpiki kwa mbio za mita 10000. Na kuweka rekodi mpya kwa upande wa
wanawake.
- Tanzania imepotea kwenye ramani ya riadha licha ya kuvuma enzi za Filbert Bayi na Juma Ikangaa.
Je, nini kinasababisha kudorora kwa mchezo wa riadha nchini?
- Tanzania imepotea kwenye ramani ya riadha licha ya kuvuma enzi za Filbert Bayi na Juma Ikangaa.
Je, nini kinasababisha kudorora kwa mchezo wa riadha nchini?
No comments:
Post a Comment