Kilima Jr I Tanzanian Youth Voice
Saturday, 13 August 2016
AJALI YA NDEGE YAUA SITA AMERIKA SASA HIVI
MAREKANI: Takribani watu 6 wamefariki katika ajali ya ndege ndogo illiyoangukia kwenye miti na kuwaka moto ilipokuwa ikitua uwanja wa Shannon.
- Ajali hiyo imetokea jimbo la Virginia na mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment