Saturday, 13 August 2016

ZAMBIA KUMJUA MSHINDI LEO USIKU AU MAPEMA KESHO JUMAPILI



Tume ya Uchaguzi Nchini Zambia inatarajia kutangaza matokeo jumla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na wawakilishi wa mabaraza ya miji leo usiku au mapema kesho Jumapili.

Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zambia



No comments:

Post a Comment