Siku 80 tangu Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh.
Dk J. P. Magufuli amtengue Mh. C. Kitwanga katika wadhifa wake jana walikutan
auso kwa uso huku misungwi.
Rais amesema yy na Mh. Kitwanga ni marafiki wa muda mrefu, Rais
ameyasema haya bada ya kukutana na kitwanga jimboni kwake huko jana.
Hii ni baada ya siku 80 tangu amtumbue kwa kosa la kuingia
bungeni akiwa amelewa nan a kushindwa kujibu maswali wa wabunge na kuzua
taharuki ya maswali mengu.
No comments:
Post a Comment