Thursday, 11 August 2016

MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI OMBI LA TALE



MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI OMBI LA TALE

Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam imelitupilia mbali ombi la Mkurugenzi wa kampuni ya Tiptop connection Hamisi Shaaban Taletale maarufu kama babu tale la kuomba asikilizwe ili afafanue kuhusu hati miliki zake na kwa nn hajazilipia 

Hii imetokea jana katika mahaka
ma hiyo jijini Dar es salaam wakati akisomewa mashitaka hayo.

No comments:

Post a Comment