Hiki ndio chumba alichokuwa anaishi dreva tax huyo mashughuri hapa kimara, inasemekana alikuwa najisaidia choo ndogo ktk machupa ta maji na choo kubwa ktk mifuko ya lailoni maarufu kama mifuko ya rambo.
Baada ya matumizi hayo ya vifaa hivyo pasina majirani wala mwenye nyumba hiyo kujua suala hilo juzi jioni ma mwnye nyumba hiyo akumbana na kadhia nzito ya harufu kali ya choo kubw ana ndogo kw apamoja alipo jilaza ktika maeneo ya karibu na mlango huo.
anasema " Nilijipumzisha karibu ya mlango wa mpangaji wangu nikijua kw amuda ule asingeweza kuj ana na kunipa shida ya kuinuka karibu na mlango wake ndio nikasikia haruf mbaya sana ya choo kubw an achoo ndogo ikitokea ktk chumba hii"
alipo jaribu kuwaita majiran ili wawze kuja kuangalia nn kilitoa harufu ndio wakapata ushauri kutoka kwa wasalia wema kuwa watoe taarifa kwa mjumbe a mtaa ilikupata ruhusa ya kuvunja mlango wakidhan kuna maiti au mzogo uliotupiwa ktk chub ahicho cgha dereva taxi.
alipokuja mjumkbe alijaribu kumpigia sim mpangaji huyo pasina matumiani aliwaambia atakuja kesho na wao waendelee kumsubitia mpaka atakapo kuja mwenyewe.
ndipo hapo liliposhirikishw ajeshi la Polisi kinondoni na kutoa amri mlango uvunjwe ilikijulikane kinachotoa harufu kali nn kwa muda mrefu pasinakupungua,
walipovunja mlango walikuta na ahali hiyoi hapo juu ya sadidkika kulikuw ana makopo ya mkojo takribani 20 hadi 30 huku kukiw ana mashehena ya choo kubwa kama mifuko 10 hadi 25 shehena hizo zikiwa zimesheni na wadudu wakitoka ktk shehena hizo.
ndipo mama mwenye nyumba alitoa pesa tshs. 50,000 kwa ajili ya kusafishwa chumba hicho. kilichokutwa na godoro na feni tu, ila kulikutwa mipira ya kiume(kondom) zilizo tumika takribana saba au kumi.
Huku mama huyo akiapa hajawahi kumuon ampangaji wake akiwa na mwanamke hata siku moja. ila kondoim zilizo tumika zilionyesha hazina muda mrefu hapo ndipo hali ya sito faham ilijitokeza, kila alippo pigiwa sim hakupatika na mpaka leo ikiw ani siku ya saba tungu tukio hilo lijitokeze huko Kimara .
No comments:
Post a Comment