Friday, 12 August 2016

WANAFUNZI WATATU WAFARIKI DUNIA WENGINE WATANO HALI MBAYA

Wanafunzi watatu wa shule ya wasichana ya St.Mary’s Nyamagwa nchini Kenya wamepoteza maisha huku wengine 68 wakijeruhiwa baada ya basi walilopanda kupata ajali eneo la Nyambunde kilomita takribani 400 kutoka Nairobi.
Ajali hiyo imetokea baada ya wanafunzi hao kujumuika kwenye safari ya kusherehekea kuletwa kwa basi hilo shuleni humo baada ya kununuliwa hapo jana.
Wanafunzi watano hali zao ni mbaya.

No comments:

Post a Comment