Friday, 12 August 2016

KOCHA WA ATUMBULIWA UGENINI KWA UDANGANYIFU WAKE

Kocha wa timu ya riadha ya Kenya inayoshiriki michuano ya Olimpiki mjini Rio de Janeiro, John Anzrah amerudishwa nyumbani kwa kosa la kuwadanganya wakaguzi wa dawa za kusisimua misuli.
Kocha huyo alifanya udanganyifu huo baada ya kutoa sampuli ya mkojo wake kwa niaba ya mkimbiaji Ferguson Rotich (Pichani)

No comments:

Post a Comment