Friday, 12 August 2016

RAIS J. P. MAGUFULI AWASILI LUMUMBA KWA KISHINDO

Mwenyekiti wa CCM Dkt.John Magufuli awasili Lumumba Dar es Salaam, mara baada ya kumaliza ziara yake ya mikoa katika kanda za kati na Ziwa ikiwa ni mara ya kwanza tangu achaguliwe kuwa Mwenyekiti wa chama hicho 23 Julai 2016.

Rais amewaasa maofisa wake waache tabia ya kuwanyanyasa wafanya biashara wadogo wadogo ktk jiji la Dar es salaam kwani wao ni watanzania kama wengine.

Pia amewaomba watanzania kudumisha amani hapa nchini nzima

No comments:

Post a Comment