Thursday, 11 August 2016

WALIMU WAKUU WAVAMIA KITUO CHA POLISI USIKU WA MANANE MOROGORO

WALIMU WAKUU WAVAMIA KITUO CHA POLISI USIKU WA MANANE

MOROGORO wakuu zaidi ya 20 kutoka baadhi ya Wilaya za mkoa wa Morogoro wamevamia Kituo kikuu cha polisi majira ya usiku wakisaka kibali cha kuandamana kwenda kumuona Mkuu wa mkoa kulalamikia kufukuzwa na uongozi wa elimu Mkoa kuhudhuria mafunzo ya tatu (kusoma,kuandika Na kuhesabu) maarufu kama KKK.

elimu iliyokuwa inatolewa katika chuo cha ualimu Morogoro kwa madai mafunzo hayo ni kwaajili ya WALIMU wa kawaida huku na wao wakisema nilazima Mwalim Mkuu aende kujifunza kwan yy ndio msimamizi mkuu wa shule atabakiaje asijue kinachoenda kufunzwa huko? " alihoji Mwalim Kutoka kihonda.

na Ramadhan Kilima

No comments:

Post a Comment