Wednesday, 10 August 2016

KISUTU YATUPILIA MBALI MAOMBI YA KUONDOA SHITAKA KWA BILIONE WA DAKIKA KWA MILIONI 7

Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu imetupilia mbali Maombi ya kuondoa shitaka la kutakatisha fedha linalomuhusu Yusufu Ally na mwenzake Samwel Lema ambao wanakabiliwa na mashitaka zaidi ya mia ambayo yaliisababishia serikali hasara ya bilioni 14.

No comments:

Post a Comment