Thursday, 11 August 2016

TANZANIA KUJENGA KITUO CHA UKAGUZI KUDHIBITI MAGENDO NA MADAWA YA KULEVYA MIPAKANI


Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge Ajira na watu wenye ulemavu Mh. Jenister Mhagama amesema kwamba serikali itajenga kituo cha kukagua mizigo katika eneo la mkenda mpakani mwa Tanzania na Msumbiji ili kudhibiti biashara ya Magendo na dawa za kulevya pamoja na kudhibiti mitumbwi kubeba watu wengi na kusababisha ajali katika mto Ruvuma

No comments:

Post a Comment