Wednesday, 10 August 2016

TUNDUMA WAKERWA NA TAKA NGUMU

Wananchi katika halmashauri ya mji wa Tunduma mkoani Songwe wameitaka serikali kuwatengea sehemu maalum za kutupia taka ngumu ili kuepuka magonjwa ya mlipuko kutokana na kuzagaa takataka nyingi katika maeneo yenye mkusanyiko wa watu.

 https://www.facebook.com/itvtz/videos/957458167698491/

No comments:

Post a Comment